Sehemu
ya wafanyakazi wa Kikosi zimamoto wakiendelea na zoezi la kuzima moto
ulioteketeza kabisa Soko la Ilala Mchikichini Jijini Dar es salaam
leo.Moto huo ulianza majira ya saa sita usiku wa kuamkia leo na
kuteketeza kila kilichokuwepo katika eneo la soko hilo. Chanzo cha
kutokea kwa moto huo bado hakijajulikana mpaka sasa.Picha zote na Othman
Michuzi.
Kazi ya kuzima moto ikiendelea.
Jitihada za kuuzima moto huo bado zinaendelea.
Moto bado unaendelea kuwaka mpaka wakati huu,huku jitihada mbali mbali za kuuzima moto huo zikiendelea.














0 comments:
Post a Comment