Ads 468x60px

Thursday, July 17, 2014

TAZAMA HAPA MATOKEO YA KIDATO CHA SITA MWAKA 2014

 

Jumla ya watahiniwa 38,905 sawa na asilimia 95.98 ya watahiniwa waliofanya mtihani kidato cha 6 wamefaulu. 

Wasichana waliofaulu ni 12,080 na wavulana waliofaulu ni 26,825

Watahiniwa waliopata division IV ni 4,420 sawa na asilimia 12.54

Watahiniwa waliopata zero (0) ni 612 sawa na asilimia 1.74.

0 comments:

Post a Comment