
Bondia Sukkasem Kietyongyuth
kutoka Thailand akitunishiana misuli na Fransic Miyeyusho baada ya
kupima uzito jana kwa ajili ya mpambano wao wa leo Jumamosi ya Aprili 12
katika ukumbi wa PTA Sabasaba Dar es Salaam.
Bondia
Fransic Cheka akipima uzito jana kwa ajili ya mpambano wake wa leo April
12 katika ukumbi wa PTA Sabasaba kushoto ni bondia Gavad Zohrehvand wa
Iran.
Picha kwa hisani ya superdboxingcoach.blogspot.com








0 comments:
Post a Comment